Mwenyekiti wa IEBC kwanini asijengewe sanamu?

Mwenyekiti wa IEBC kwanini asijengewe sanamu?

ichumu lya

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
2,651
Reaction score
2,790
Wafula Chebukati mwamba anayejiamini haogopi kitu anasimamia sheria kwa Afrika wanahesabika.
4a7fcfc0-1731-11ed-8231-43fff25d4c1d.jpg
 
Hakika chebukati ni Shujaa wa karne, anastahili heshima kubwa sio tu kenya bali dunia nzima.
ni watu wachache sana wenye msimamo na wasio kubali kuyumba wala kuyumbishwa.
Chebukati ni mfano mzuri wa kuigwa.
 
Kenya pako sawa sanamu yake ijengwe Dodoma ili Ccm waache kuiba kura au ijengwe nyumbani kwa mkurugenzi wa NEC ndg Mahela mwizi namba mbili ukimtoa marehemu.
 
Hakika chebukati ni Shujaa wa karne, anastahili heshima kubwa sio tu kenya bali dunia nzima.
ni watu wachache sana wenye msimamo na wasio kubali kuyumba wala kuyumbishwa.
Chebukati ni mfano mzuri wa kuigwa.
Huyo mwamba ni mfano bora wa kuigwa TZ 2025 tunamtaka mtu kama huyo asieyumbishwa yy anasimamia haki.
 
Back
Top Bottom