ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Wafula Chebukati mwamba anayejiamini haogopi kitu anasimamia sheria kwa Afrika wanahesabika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unamuunga mkono Makamu mwenyekiti wa IEBC. Huyo kwako ndiye shujaa Kwa vile anahimiza dhuluma. CCM ni ileile, wezi na wadhulumaji.Una Hakika haogopi?
Mithali 16 33Wewe unamuunga mkono Makamu mwenyekiti wa IEBC. Huyo kwako ndiye shujaa Kwa vile anahimiza dhuluma. CCM ni ileile, wezi na wadhulumaji.
Sawa. Kawashawishi Wakenya wenzako sasa ili mumjengee hilo sanamu.Wafula Chebukati mwamba anayejiamini haogopi kitu anasimamia sheria kwa Afrika wanahesabika.View attachment 2325331
Huyo mwamba ni mfano bora wa kuigwa TZ 2025 tunamtaka mtu kama huyo asieyumbishwa yy anasimamia haki.Hakika chebukati ni Shujaa wa karne, anastahili heshima kubwa sio tu kenya bali dunia nzima.
ni watu wachache sana wenye msimamo na wasio kubali kuyumba wala kuyumbishwa.
Chebukati ni mfano mzuri wa kuigwa.
Makamishna mamluki wale, sababu zao ni utumbo mtupuSanamu wakati makamishna wamegawanyika na mwingine kuuliwa?nadhani linahitaji muda kdg
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app