johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kufanyika kwa mkutano na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuhusiana na mgogoro katika eneo la Mashariki mwa DRC, ambao utafanyika katika siku mbili zijazo.
Ruto alishukuru Rais wa DRC, Etienne Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa kukubali kuhudhuria Mkutano huo wa kipekee wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utakao fanyika katika kipindi cha masaa 48 yajayo.
Pia soma
- Jumuiya ya Afrika Mashariki imzuie Kagame kunywa damu ya wakongo, na kula nyama zao katika vita ya Mashariki mwa Kongo
Ruto alishukuru Rais wa DRC, Etienne Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa kukubali kuhudhuria Mkutano huo wa kipekee wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utakao fanyika katika kipindi cha masaa 48 yajayo.
Pia soma
- Jumuiya ya Afrika Mashariki imzuie Kagame kunywa damu ya wakongo, na kula nyama zao katika vita ya Mashariki mwa Kongo