johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa tunaomjua mh Kapokoswa tangu enzi za Shujaa Magufuli ni mtu mwenye mbwembwe sana wakati wa uwasilishaji wa Taarifa za Kamati
Nadhani leo anaumwa Siyo kawaida yake
Mungu wa mbinguni amfanyie wepesi!
Nadhani leo anaumwa Siyo kawaida yake
Mungu wa mbinguni amfanyie wepesi!