Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi, Afika Ubalozi wa Marekani kumuaga Balozi Michael Battle anayemaliza muda wake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba leo January 7, Bilionea Joseph Mbilinyi amekutana na Balozi huyo Ofisini kwake na kufanya naye Mazungumzo marefu.

Ambapo inadaiwa kwamba ametumia nafasi hiyo kumuaga Balozi Michael Battle, anayemaliza muda wake Nchini Tanzania.



Wawili hao wametumia nafasi hiyo kuweka Vizuri kati yao Koneksheni za kisiasa, Biashara na Uwekezaji.
 
Wamarekani uzuri wao kila Rais mpya anakuja na Mabalozi wake
 
Nakuona mfanyakazi wa sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…