Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mwenyekiti wa Kampeni ya 'Mama Asemewe', Geoffrey Kiliba, ametoa onyo kali kwa wanasiasa ambao wameshindwa kuthamini vizuri ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesisitiza kuwa taifa haliwezi kuamini viongozi ambao wanajivunia kutaja majina ya watu au kutumia vitisho kama Wanatembea na risasi mgongoni, badala ya kutoa mifano ya uongozi bora.
Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesisitiza kuwa taifa haliwezi kuamini viongozi ambao wanajivunia kutaja majina ya watu au kutumia vitisho kama Wanatembea na risasi mgongoni, badala ya kutoa mifano ya uongozi bora.