Umejipa kazi ya shekh yahaya naonaHivi mbona mnataka kuihusisha JF na mambo ya kipumbavu pumbavu? Kwa hiyo mkifungwa kesho mtakuwa mmerogwa?
Umekuwa mpiga ramliSawa alietaka kuwaroga mshamkamata . kwahyo kesho mkifungwa hamna mkono wa mtu.....
Ndo type yenu kuamini uchawi kila mahali, shehe Yahya, shehe Kipozeo, matunguli.....!U
Umejipa kazi ya shekh yahaya naona
Wewe kama cyo mchawi umewajuaje hao akina matunguli?Ndo type yenu kuamini uchawi kila mahali, shehe Yahya, shehe Kipozeo, matunguli.....!
Hakika Ogopa Mchawi na Mnafiq
Ngoma siyo yao ila wapo tayari kujitoa Roho.
Jamaa mmoja aliepitiwa na Rungu la TFF asijihusishe na Michezo hajakoma Jina kapuni
Ambae ni mnazi wa yanga na M/Kiti serikali ya mitaa tandika na Mwingine aliewahi kucheza mchezo mchafu kwa serikali (kesi haijaisha) wamebaraswa wakitaka kupenyeza Ulozi Taifa
Tukio hlo lilitokea usiku wa kuamkia leo baada ya watu hao kutinga uwanjani hapo, kumbe hawakujua kuwa uwanja huo upo chini ya ulinzi mkali sana!!
Hayo ni maandilizi ya kisaikolojia baada ya Nkana kupeta kesho.Hakika Ogopa Mchawi na Mnafiq
Ngoma siyo yao ila wapo tayari kujitoa Roho.
Jamaa mmoja aliepitiwa na Rungu la TFF asijihusishe na Michezo hajakoma Jina kapuni
Ambae ni mnazi wa yanga na M/Kiti serikali ya mitaa tandika na Mwingine aliewahi kucheza mchezo mchafu kwa serikali (kesi haijaisha) wamebaraswa wakitaka kupenyeza Ulozi Taifa
Tukio hlo lilitokea usiku wa kuamkia leo baada ya watu hao kutinga uwanjani hapo, kumbe hawakujua kuwa uwanja huo upo chini ya ulinzi mkali sana!!
Acha kuweweseka mkuu,Nkana inafahamika tu kesho wanawalaza mapema,so unatafuta mchawi wakati wachawi ni wawa,manula pale nyumaHakika Ogopa Mchawi na Mnafiq
Ngoma siyo yao ila wapo tayari kujitoa Roho.
Jamaa mmoja aliepitiwa na Rungu la TFF asijihusishe na Michezo hajakoma Jina kapuni
Ambae ni mnazi wa yanga na M/Kiti serikali ya mitaa tandika na Mwingine aliewahi kucheza mchezo mchafu kwa serikali (kesi haijaisha) wamebaraswa wakitaka kupenyeza Ulozi Taifa
Tukio hlo lilitokea usiku wa kuamkia leo baada ya watu hao kutinga uwanjani hapo, kumbe hawakujua kuwa uwanja huo upo chini ya ulinzi mkali sana!!
Mzigo wenyewe ni huu. Wapende wasipende simba tunasonga mbele.Hakika Ogopa Mchawi na Mnafiq
Ngoma siyo yao ila wapo tayari kujitoa Roho.
Jamaa mmoja aliepitiwa na Rungu la TFF asijihusishe na Michezo hajakoma Jina kapuni
Ambae ni mnazi wa yanga na M/Kiti serikali ya mitaa tandika na Mwingine aliewahi kucheza mchezo mchafu kwa serikali (kesi haijaisha) wamebaraswa wakitaka kupenyeza Ulozi Taifa
Tukio hlo lilitokea usiku wa kuamkia leo baada ya watu hao kutinga uwanjani hapo, kumbe hawakujua kuwa uwanja huo upo chini ya ulinzi mkali sana!!
Sawa kabisa mkuu, wanatafuta kichaka cha kujifichiaHayo ni maandilizi ya kisaikolojia baada ya Nkana kupeta kesho.
Leo lazima mikia ilale makaburini,then kesho yanapigwaWewe kama cyo mchawi umewajuaje hao akina matunguli?