Mwenyekiti wa Muda Pandu Kificho anastahili sifa ni Mwiko kukasirika

Mwenyekiti wa Muda Pandu Kificho anastahili sifa ni Mwiko kukasirika

ghilipolla

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
280
Reaction score
53
Nakuwa nikifuatilia Bunge kwa makini sana na uongozi wa Mwenyekiti wa Muda Bungeni Pandu Ameir Kificho nimegundua huyu mzee anastahili sifa japo wachache walibeza kuchaguliwa kwake kutokana na sifa zake kielimu. Nikijaribu kumlinganisha na Spika wa Bunge wa JMT wa sasa nakuta kuna tofauti kubwa sana, huyu mzee sijawahi kumuona akikasirika pale mbunge anapolazimisha kuomba mwongozo wala kwa vyovyote hutumia busara sana na ile misisimko bungeni huwa inatulia automatically. Huwa namhisi anajaribu mtu kuomba mwongozo au taarifa au ombi basi mara nyingi hutoa ile nafasi na si mara nyingi kumkatisha mtu wakati anaongea. kwenu wakuu munalionaje hili
 
Nakuwa nikifuatilia Bunge kwa makini sana na uongozi wa Mwenyekiti wa Muda Bungeni Pandu Ameir Kificho nimegundua huyu mzee anastahili sifa japo wachache walibeza kuchaguliwa kwake kutokana na sifa zake kielimu. Nikijaribu kumlinganisha na Spika wa Bunge wa JMT wa sasa nakuta kuna tofauti kubwa sana, huyu mzee sijawahi kumuona akikasirika pale mbunge anapolazimisha kuomba mwongozo wala kwa vyovyote hutumia busara sana na ile misisimko bungeni huwa inatulia automatically. Huwa namhisi anajaribu mtu kuomba mwongozo au taarifa au ombi basi mara nyingi hutoa ile nafasi na si mara nyingi kumkatisha mtu wakati anaongea. kwenu wakuu munalionaje hili

Kwa hilo kwa kweli nimpongeze tu mzee Kificho. Jambo lingine ninalomsifu ni hoja ambazo zinahusu mambo ya kisheria huomba ufafanuzi wa kisheria anasema ili kuondoa uwezekano wa issue hiyo kupelekwa mahakamani.
 
Back
Top Bottom