Nashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
View attachment 1912488
View attachment 1912605
Kwa hali hii, hata Mtoto mpendwa, kwa nini asiwezeMbatia hawezi kuandika upumbavu kama huu
Pole kwa msibaMbatia hawezi kuandika upumbavu kama huu
Msiba wa nani?Pole kwa msiba
Halafu chaganya na matendo ya akina Alexander MnyetiCcm ni kichaka cha magaidi hebu kumbuka kauli za akina Heri James
Halafu chaganya na matendo ya akina Alexander Mnyeti, Bashite.......Ccm ni kichaka cha magaidi hebu kumbuka kauli za akina Heri James
Kwa kuweweseka huku yaonekana bado kidogo utastahili kuhamishiwa kwenye ile hospitali ya afya ya akili.Kumbe kweli Serikali haikukosea kumshitaki Mbowe na makosa ya UGAIDI, maana viongozi na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA wamefurahia sana kitendo cha GAIDI HAMZA kuuwa askari na kuleta taharuki.
na huo ndio inasemekana ilikuwa mkakati wa Mbowe.
na endapo HAMZA asinge uwawa lazima Chadema wange mnunua ili kutekeleza uhalifu.
hii inathibitisha kuwa Chadema ni Kichaka cha wahalifu.
Mada inamhusu Mbatia na Ccm .inaonekana kuna baadhi ya wafuasi wa Mbowe/Chadema na baadhi ya viongozi kama wana vichembe chembe vya kigaidi.
waswahili wanasema maji hufuata mkondo.............................................
inabidi wafuatiliwe kwa karibu sana.
Mbatia is too big to talk trash kama hii..kama kaongea hivi basi ndio maana aisee...Nashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
View attachment 1912488
View attachment 1912605
Unataka kusema Hamza alitoka ccm akahamia chadema?inaonekana kuna baadhi ya wafuasi wa Mbowe/Chadema na baadhi ya viongozi kama wana vichembe chembe vya kigaidi.
waswahili wanasema maji hufuata mkondo.............................................
inabidi wafuatiliwe kwa karibu sana.
Hapo bado hatujawataja akina BASHITE & SABAYAHalafu chaganya na matendo ya akina Alexander Mnyeti
Wa kada mwenzakoMsiba wa nani?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]... Hamza ni noma yule! CCM hawajui wameze au wateme! Wamebaki kati kusoma upepo kwanza.