A
Anonymous
Guest
Eneo la Vijibweni kumeongezeka migogoro ya ardhi kwa kuwa mwenyekiti wa Serikali anauza maeneo ya hifadhi ya barabara akishirikiana na kikundi cha wajanja.
Na kumekuwa na malalamiko mengi juu ya huyo Mwenyekiti wa Serikali ya Mitaa na kila anapofuatwa yeye hukimbia ofisi na kutokomea mara kwa mara .
Kuna eneo la hifadhi ya barabara wamemuuzia mtu na kajenga na hivyo kutokuzingatia maadili ya kazi .
Pembeni ya tenki la maji ni barabara na mtu kauziwa.
Tunaomba mamlaka husika walichukulie hatua za haraka kwani kuwekuwa kero na watu wachache kutumia vyeo vyao katika kufanyauhalifu huu.
Na kumekuwa na malalamiko mengi juu ya huyo Mwenyekiti wa Serikali ya Mitaa na kila anapofuatwa yeye hukimbia ofisi na kutokomea mara kwa mara .
Kuna eneo la hifadhi ya barabara wamemuuzia mtu na kajenga na hivyo kutokuzingatia maadili ya kazi .
Pembeni ya tenki la maji ni barabara na mtu kauziwa.
Tunaomba mamlaka husika walichukulie hatua za haraka kwani kuwekuwa kero na watu wachache kutumia vyeo vyao katika kufanyauhalifu huu.