johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii ni kali wakazi wa Kilimahewa huko Wazo Tegeta wamemshambulia kwa kipigo Mwenyekiti wao wa mtaa ambaye alilazimika kukimbilia karandinga ya polisi.
Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa.
Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti huyo kwa kuwa aliletwa tu na CCM wao hawakumchagua.
Source ITV habari
My take; Kwanini hawa viongozi mafisadi hupendelea kuvaa sare za CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa.
Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti huyo kwa kuwa aliletwa tu na CCM wao hawakumchagua.
Source ITV habari
My take; Kwanini hawa viongozi mafisadi hupendelea kuvaa sare za CCM?
Maendeleo hayana vyama!