johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kazi kweli kweli!
Nisome vizuri bwashee!Mbona hujasema kuwa walikuwa wanasema kuwa kwanza HATA HATUKUMCHAGUA!!!
Hili jimbo la Halima Mdee ni shida kwa kweli!
Ufisadi ni sera ya chama chetuHii ni kali wakazi wa Kilimahewa huko Wazo Tegeta wamemshambulia kwa kipigo Mwenyekiti wao wa mtaa ambaye alilazimika kukimbilia karandinga ya polisi.
Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa.
Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti huyo kwa kuwa aliletwa tu na CCM wao hawakumchagua.
Source ITV habari
My take; Kwanini hawa viongozi mafisadi hupendelea kuvaa sare za CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani kushambulia ni lazima iwe kwa bakora na risasi bwashee?........hata wacheza soka wanashambulia meku!
AGIZO: Atakayempiga mwanaccm aliyevaa sare atakiona chamoto.Hii ni kali wakazi wa Kilimahewa huko Wazo Tegeta wamemshambulia kwa kipigo Mwenyekiti wao wa mtaa ambaye alilazimika kukimbilia karandinga ya polisi.
Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa.
Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti huyo kwa kuwa aliletwa tu na CCM wao hawakumchagua.
Source ITV habari
My take; Kwanini hawa viongozi mafisadi hupendelea kuvaa sare za CCM?
Maendeleo hayana vyama!
We ndo yule uliekuwa unaandika job true true mkuu?😃Kazi kweli kweli!