Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kilimahewa Wazo anusurika kupigwa na wapiga kura wake. Akimbilia karandinga la Polisi kuokoa maisha yake

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hii ni kali wakazi wa Kilimahewa huko Wazo Tegeta wamemshambulia kwa kipigo Mwenyekiti wao wa mtaa ambaye alilazimika kukimbilia karandinga ya polisi.

Mwenyekiti huyo anatuhumiwa kubadili mipaka ya viwanja vya wakazi hao kinyemela na baadaye kuwadai rushwa.
Wakazi wamedai hawamtaki mwenyekiti huyo kwa kuwa aliletwa tu na CCM wao hawakumchagua.

Source ITV habari

My take; Kwanini hawa viongozi mafisadi hupendelea kuvaa sare za CCM?

Maendeleo hayana vyama!
 
Ufisadi ni sera ya chama chetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AGIZO: Atakayempiga mwanaccm aliyevaa sare atakiona chamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…