Mwenyekiti wa TAHILISO na Rais wa Kitivo Cha Elimu UDOM aponea chupupu kuuawa na wanachuo

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Mwenyekiti wa shirikisho LA Vyuo vikuu nchini na ambaye pia ni Rais wa Kitivo cha Elimu (college of Education) chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) Leo ameponea chupuchupu baada ya kuonekana maeneo ya maandamano na huku akijulikana kuwa ni msaliti kwa kukaa kimya muda mrefu bila kutolea tamko suala la vyuo vikuu kutopelekewa pesa za malazi na chakula ukizingatia kuwa yeye ndiye anapaswa kuzungumza kwa niaba ya chuo na vyuo vyote Tanzania kama Rais. Suala lingine ni kufanya ufisadi wa pesa ya serikali ya Wanafunzi na kununua magari mawili. Amekimbizwa na kushambuliwa kwa mawe ambapo alinusuriwa kwa kufungiwa chumbani na baadae kuondolewa maeneo ya chuo chini ya ulinzi mkali wa polisi. maandamano yanaendelea kesho baada ya majibu kutoka kwa Waziri mkuu kutoridhisha
 
Ukishaona tu rais wa vyuo anatoka UDOM hapo hamna kitu,bila shaka jamaa atakuwa amewekwa na serikali ya chma tawala kama kibaraka,wanafunzi wengi wa UDOM hawana sifa ya kuwa viongozi hawajiamini kabisa,wananunulika kirahisi
 
Acha zako usitafsiri waliopo udom ni maboya wa chama tawala sasa wanaharakati tupo na tumeanza na hao wanaopotosha jamii
 
Ni baada ya usaliti aliouonyesha kutotetea maslahi ya wanavyuo wenzake.

Maandamano yamponza.


Zaidi tiririka hapa chini.

 
Mkuu alishasema na "wasaliti wapigwe tu maans hakuna namna nyingine"
 
wapigwe tu tumechoka na usaliti wao
 
Nyie mlitaka waziri mkuu awape majb gan mridhike acheni kutumika ooooooh tatizo binadam ukiwa unapew xna msaada mwisho wa siku unaona ni haki yko ku pewa je wakisema mzirudishe mlizopewa wafute mkataba wa boom utaishi apo ng'ox ww tafakar
 
Ww moderator vipi. Mtu kashushiwa kichapo ww unaandika kanusurika
 
Tahiliso si mali ya CCM? Halafu huyo si yule mpenda ubwabwa wa Lowasa?
 
TAHLISO ni KIJIWE CHA CCM,UKITOKA HAPO UNAPEWA UDC LAKINI SIO KUTETEA MASLAHI YA WANAFUNZI!!
 
 
 
hili chele la federation na tahilso la ajabu kwel hata mwakibinga huyu jamaa alihuska kuongea uwongo jamaa ili waondoke mungu atakuonesha oneday
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…