LGE2024 Mwenyekiti wa UVCC mkoa wa Geita: Uchaguzi huu tunakwenda kuzika upinzani

LGE2024 Mwenyekiti wa UVCC mkoa wa Geita: Uchaguzi huu tunakwenda kuzika upinzani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (CCM) Mkoa wa Geita , Manjale Magambo amesema uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27 Mwaka huu wanauita ni Uchaguzi maalumu ambao utakwenda kuvizika vyama vya upinzani.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kauli hiyo ameitoa wakati akiwanadi Viongozi wagombea ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa na Vitongoji katika kata ya Kanyala na Kasamwa mjini Geita ambapo amesema chama kimejipanga kushinda Viti vyote vya Ugombea huku akiwataka Vijana kushiriki katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kuamuliwa na wananchi.

 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (CCM) Mkoa wa Geita , Manjale Magambo amesema uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27 Mwaka huu wanauita ni Uchaguzi maalumu ambao utakwenda kuvizika vyama vya upinzani.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kauli hiyo ameitoa wakati akiwanadi Viongozi wagombea ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa na Vitongoji katika kata ya Kanyala na Kasamwa mjini Geita ambapo amesema chama kimejipanga kushinda Viti vyote vya Ugombea huku akiwataka Vijana kushiriki katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kuamuliwa na wananchi.

Ni kuzika na kufukia moja kwa moja
 
Kwa udongo wa vumbi la risasi na virungu
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (CCM) Mkoa wa Geita , Manjale Magambo amesema uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27 Mwaka huu wanauita ni Uchaguzi maalumu ambao utakwenda kuvizika vyama vya upinzani.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kauli hiyo ameitoa wakati akiwanadi Viongozi wagombea ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa na Vitongoji katika kata ya Kanyala na Kasamwa mjini Geita ambapo amesema chama kimejipanga kushinda Viti vyote vya Ugombea huku akiwataka Vijana kushiriki katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kuamuliwa na wananchi.

Labda kwa wizi wa kura si kihalali.
 
Back
Top Bottom