Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (CCM) Mkoa wa Geita , Manjale Magambo amesema uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27 Mwaka huu wanauita ni Uchaguzi maalumu ambao utakwenda kuvizika vyama vya upinzani.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kauli hiyo ameitoa wakati akiwanadi Viongozi wagombea ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa na Vitongoji katika kata ya Kanyala na Kasamwa mjini Geita ambapo amesema chama kimejipanga kushinda Viti vyote vya Ugombea huku akiwataka Vijana kushiriki katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kuamuliwa na wananchi.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kauli hiyo ameitoa wakati akiwanadi Viongozi wagombea ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa na Vitongoji katika kata ya Kanyala na Kasamwa mjini Geita ambapo amesema chama kimejipanga kushinda Viti vyote vya Ugombea huku akiwataka Vijana kushiriki katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kuamuliwa na wananchi.