BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
📍Wafanya Usafi Soko la Kemondo.
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Bukoba Vijijini chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Andrew Byera kwa kushirikiana na Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero Ndugu Bwanku M Bwanku Jumamosi Juni 08, 2024 wameongoza kundi kubwa la wananchi wa Kemondo na Vijana kufanya mazoezi makubwa ya viungo kwa kukimbia zaidi ya Km 10 kwa ajili ya kulinda afya na kujiepusha na magonjwa nyemelezi.
Mazoezi hayo yameanzia kwenye Soko la Kemondo na baadae kufanya usafi kwenye Soko hilo la Kemondo. Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwasasa imekua ikisisitiza sana ufanyaji wa mazoezi kwa wananchi na wito huu wa Serikali unafanyiwa kazi vyema na Umoja wa Vijana Bukoba Vijijini pamoja na Tarafa nzima ya Katerero.
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Bukoba Vijijini chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Andrew Byera kwa kushirikiana na Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero Ndugu Bwanku M Bwanku Jumamosi Juni 08, 2024 wameongoza kundi kubwa la wananchi wa Kemondo na Vijana kufanya mazoezi makubwa ya viungo kwa kukimbia zaidi ya Km 10 kwa ajili ya kulinda afya na kujiepusha na magonjwa nyemelezi.
Mazoezi hayo yameanzia kwenye Soko la Kemondo na baadae kufanya usafi kwenye Soko hilo la Kemondo. Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwasasa imekua ikisisitiza sana ufanyaji wa mazoezi kwa wananchi na wito huu wa Serikali unafanyiwa kazi vyema na Umoja wa Vijana Bukoba Vijijini pamoja na Tarafa nzima ya Katerero.