Pre GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Kagera apongeza kauli mbiu mpya ya CCM "Kazi na Utu Tunasonga Mbele"

Pre GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Kagera apongeza kauli mbiu mpya ya CCM "Kazi na Utu Tunasonga Mbele"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhani amekishukuru kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Taifa [NEC] kilichoketi Mach 10, 2025 kwa kutoka na kauli mbiu ya KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025.

Akieleza kuhusu kauli mbiu hiyo, Faris amesema kauli mbiu hiyo inadhihirisha kuwa CCM pamoja na ukongwe wake wa miaka 48 bado imeendelea kuziishi na imani kuu tatu za Mwana CCM hasa katika kulinda misingi ya Ubinadamu, Utu, usawa na kujitegemea.

Pia, Soma
 
Majitu ya ccm ni mazombi yakiletewa chochote na maviongozi yao mazombi menzao yanakubali kwani akili zao zote sawa.
Hiyo kauli mbiu ni ya hovyo kwani kwenye hii nchi zana ya utu kwa sasa haipo
 
Back
Top Bottom