Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhan, amesema mtaa hautaki digrii wala PhD ili mtu aonekane kijana mchapa kazi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kauli hiyo ameitoa Oktoba 12, 2025, katika Chuo cha Serikali, VETA Karagwe, wakati akizungumza na wanachuo wa chuo hicho kuhusu umuhimu wa elimu ya ufundi stadi, wakati wa ziara ya Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa Kagera.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kauli hiyo ameitoa Oktoba 12, 2025, katika Chuo cha Serikali, VETA Karagwe, wakati akizungumza na wanachuo wa chuo hicho kuhusu umuhimu wa elimu ya ufundi stadi, wakati wa ziara ya Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa Kagera.