View attachment 1094079
Nimeiona clip Instagram, sifahamu akiwa wapi lakini ujumbe wake ulisema haya:
Vijana ni hazina ya taifa na hazina ya chama.
Mnapochaguliwa kuwa viongozi si kwakua mna degree na PhD, si kwakua mlikiimbia sana chama na wala si kwakua mko karibu sana na viongozi, wake zao wako karibu nao kuliko nyinyi. Mlichaguliwa kutokana na miongozo mliyopewa na chama na muache kiburi.
Kheri James bravo comrade.
Mkuu, vijongozi ndiyo matunda ya mti gani? Najua wewe so mkurupukaji, ila hii post nahisi umeitype na kuipost ukiwa kwenye bodabodaView attachment 1094079
Nimeiona clip Instagram, sifahamu akiwa wapi lakini ujumbe wake ulisema haya:
Vijana ni hazina ya taifa na hazina ya chama.
Mnapochaguliwa kuwa viongozi si kwakua mna degree na PhD, si kwakua mlikiimbia sana chama na wala si kwakua mko karibu sana na viongozi, wake zao wako karibu nao kuliko nyinyi. Mlichaguliwa kutokana na miongozo mliyopewa na chama na muache kiburi.
Kheri James bravo comrade.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) NUMBER ONE🙄🙄View attachment 1094079
Nimeiona clip Instagram, sifahamu akiwa wapi lakini ujumbe wake ulisema haya:
Vijana ni hazina ya taifa na hazina ya chama.
Mnapochaguliwa kuwa viongozi si kwakua mna degree na PhD, si kwakua mlikiimbia sana chama na wala si kwakua mko karibu sana na viongozi, wake zao wako karibu nao kuliko nyinyi. Mlichaguliwa kutokana na miongozo mliyopewa na chama na muache kiburi.
Kheri James bravo comrade.
Ashukuriwe Askofu Shoo aseee kwa mahubiri Yale, hivi hakuna mwingine kule afe ili Shoo akolezee labda vichwa vitawakaa sawa.View attachment 1094079
Nimeiona clip Instagram, sifahamu akiwa wapi lakini ujumbe wake ulisema haya:
Vijana ni hazina ya taifa na hazina ya chama.
Mnapochaguliwa kuwa viongozi si kwakua mna degree na PhD, si kwakua mlikiimbia sana chama na wala si kwakua mko karibu sana na viongozi, wake zao wako karibu nao kuliko nyinyi. Mlichaguliwa kutokana na miongozo mliyopewa na chama na muache kiburi.
Kheri James bravo comrade.
Siku zetu zikifika hata we utapata mahubiri mazuriAshukuriwe Askofu Shoo aseee kwa mahubiri Yale, hivi hakuna mwingine kule afe ili Shoo akolezee labda vichwa vitawakaa sawa.
Kheri James Kisanduku, huyu ni muuaji wa kutumainiwa ndani ya CCMView attachment 1094079
Nimeiona clip Instagram, sifahamu akiwa wapi lakini ujumbe wake ulisema haya:
Vijana ni hazina ya taifa na hazina ya chama.
Mnapochaguliwa kuwa viongozi si kwakua mna degree na PhD, si kwakua mlikiimbia sana chama na wala si kwakua mko karibu sana na viongozi, wake zao wako karibu nao kuliko nyinyi. Mlichaguliwa kutokana na miongozo mliyopewa na chama na muache kiburi.
Kheri James bravo comrade.
Baba mtu kasemaje, Ila kwa sakata hili pamoja na la wakurugenzi kuwa Returning officers wa NEC kuna tukio tutaletewa soonNinasikia kelele zimekua nyingi mpaka baba wa mtoto amezisikia
Yeue wenyewe ni kiburi. Hatujasahau bado yale maneno yake machafu aliyoyatoa pale Arusha kwenye kampeni za uchaguzi wa udiwani kata ya Daraja mbiliView attachment 1094079
Nimeiona clip Instagram, sifahamu akiwa wapi lakini ujumbe wake ulisema haya:
Vijana ni hazina ya taifa na hazina ya chama.
Mnapochaguliwa kuwa viongozi si kwakua mna degree na PhD, si kwakua mlikiimbia sana chama na wala si kwakua mko karibu sana na viongozi, wake zao wako karibu nao kuliko nyinyi. Mlichaguliwa kutokana na miongozo mliyopewa na chama na muache kiburi.
Kheri James bravo comrade.