Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, Habibu Mbota ambaye pia ni balozi wa maji mkoa wa Tanga akiwa katika harakati za kampeni alisisitiza kuwa uchaguzi huu ni fursa muhimu kwa wananchi kuchagua viongozi wa CCM watakaowasaidia kuleta maendeleo.
Naye, Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Tanga, Ramadhan Omar aliwataka wananchi kuchagua viongozi wa CCM katika nafasi zote, akisisitiza kuwa ni chama chenye dira na mipango thabiti ya maendeleo
Naye, Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Tanga, Ramadhan Omar aliwataka wananchi kuchagua viongozi wa CCM katika nafasi zote, akisisitiza kuwa ni chama chenye dira na mipango thabiti ya maendeleo