Mwenyezi Mungu si unijalie tu haka hii gorofa, eeh baba

Mwenyezi Mungu si unijalie tu haka hii gorofa, eeh baba

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
ef7a052c7a44e1fbf281c33fa4e65f0b.jpg
 
Ma@Financial Analyst hilo ghorofa linaweza kugharimu kiasi gani kwenye ujenzi?
 
Omba na mbinu njema ya kupata huo mjengo mana mjini mambo ni mengi 😂
 
Nenda kwenye kiwanja unachotaka kuijenga hii ghorofa hata kama sio chako usijali, Cha kwanza uwe na imani kisha fumba macho sali hivi;

Ninaamuru ghorofa moja itue hapa sasahivi, Ninaamuru na pesa ya kumlipa mwenye hili eneo ishuke sasahivi.

Fumbua macho, ingia kwenye nyumba yako, endelea kula bata mkuu.

Si wengine ngoja tuendelee kusukuma bussiness kibishi - Hatuna Imani.
 
Nenda kwenye kiwanja unachotaka kuijenga hii ghorofa hata kama sio chako usijali, Cha kwanza uwe na imani kisha fumba macho sali hivi;

Ninaamuru ghorofa moja itue hapa sasahivi, Ninaamuru na pesa ya kumlipa mwenye hili eneo ishuke sasahivi.

Fumbua macho, ingia kwenye nyumba yako, endelea kula bata mkuu.

Si wengine ngoja tuendelee kusukuma bussiness kibishi - Hatuna Imani.
AMINA
 
Back
Top Bottom