Mwenyezi Mungu si unijalie tu haka hii gorofa, eeh baba

Ma@Financial Analyst hilo ghorofa linaweza kugharimu kiasi gani kwenye ujenzi?
 
Omba na mbinu njema ya kupata huo mjengo mana mjini mambo ni mengi 😂
 
Nenda kwenye kiwanja unachotaka kuijenga hii ghorofa hata kama sio chako usijali, Cha kwanza uwe na imani kisha fumba macho sali hivi;

Ninaamuru ghorofa moja itue hapa sasahivi, Ninaamuru na pesa ya kumlipa mwenye hili eneo ishuke sasahivi.

Fumbua macho, ingia kwenye nyumba yako, endelea kula bata mkuu.

Si wengine ngoja tuendelee kusukuma bussiness kibishi - Hatuna Imani.
 
AMINA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…