Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Nimeshangaa eti hata wapo..... huwatakiLoooh!!!! Bila shaka wewe utakuwa unanifahamu ahahahahaha. Mana sio kwa jibu hilo.
Ahahaha masharti hayalegezeki apa. Wewe jitahd tu uwe na sifa zoteBado hajapatikana? Mleta mada jaribu kulegeza masharti na sisi ni watoto wa mwanamke mweñzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi unayotupa ngumu sana sifa zingine hatuwezi kuziongeza mpaka mwenye mamlaka aamueAhahaha masharti hayalegezeki apa. Wewe jitahd tu uwe na sifa zote
Ahahahah jitahd ssKazi unayotupa ngumu sana sifa zingine hatuwezi kuziongeza mpaka mwenye mamlaka aamue
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah umechapia ila nakupongeza herufi ya kwanza umekwenda nayo vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MUNGU pamoja nasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nianze kumtrace huko nyuma alikuwa anakoment nini!! Nikimkuta kwenye ule uzi wa kimasikhara namla kichwaAhahah alafu ujue ww ndio judge. Anza kumtolea max zake apo
Hee[emoji134]Hahah umechapia ila nakupongeza herufi ya kwanza umekwenda nayo vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app