Mwenza bora anahitajika

Mtani mi pia huko nipo japo sijahamia mazima kwani ule uchungu bana huwa unanipa wakati mgumu sana.

Mana naona futari yangu naivuruga huko tumboni. [emoji1787][emoji1787]
Ule uchungu sasa ndio utamu wenyewe!!

Mie siinywi kila siku mana isije ikatenganisha figo na bandama zangu huko tumboni..[emoji23][emoji23]

Mbona kwa futari ndio yenyewe sasa si kama uji wa pilipili manga tu!??

The only thing to fear is fear itself
 
Duuh!!
 
Cc mshana jr

☆Magnum Opus☆
 
mimi natafuta demu kicheche yani aliye shindikana yani alie waikutoa mimba demu anisumbue mpaka basi lakini pindi nikitaka mpiga chini demu alie kunibembeleza nisimwache
 
Mkoa ninaokaa Umenikosesha Mke ... Ngoja nifanye mpango niamie Dar es salaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
All the best

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…