Mwenza bora anahitajika

Ndo shida ya kwenda kwa Waganga wakuambie mume utakayeendana naye na sijui na kuanzia herufi fulani,na makorokoro kibao...

Vipi lakini ndoa inaendeleaje huko
 
Ndo shida ya kwenda kwa Waganga wakuambie mume utakayeendana naye na sijui na kuanzia herufi fulani,na makorokoro kibao...

Vipi lakini ndoa inaendeleaje huko
Sio Kila anaepost anamaanisha
 
17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
Duuuh🙄
Hii hakunaga kwa ME yeyote, utawaonea wenzio buuure!

Akiweza sharti hili, atakuwa either:
1). ana mchepuko,
au
2). siyo mzima
 
Utasubiri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…