Hahaa, huyu mkuu dushe lake anawapaga wenye chura tuu, so sisi wengine hawezi, ndyo maana nikamwambie sina chura aka mpododo[emoji3] [emoji3]Hahaha !! Wenye chura ndo hutaka tu Dushe mkuu
Unakimbia nini rudi hapaaa[emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]
Kigezo cha dini kimenikosesha mume aisee, kila rakheri
Una umri gani dadaKigezo cha umri sasa kimenifelisha
Kama ilivyo kuwa kwa binadamu yoyote, wengine si wife materialMuislamu unakosaje mke wakati kila binti wa kiislamu ni waifu matirio
Tuombe Mungu inshallahNina Dada yangu mbulu ntamwambia akuchek nadhani atakufaa