Mwenza wa maisha (mume) anahitajika!

Toa specification basi:
Cc ngapi, km, make, model, transimision type nakadhalika.
 
Shukran majorbuyoya, natumaini nitapata tutakaefaana.
.........Bila ya shaka utafanikiwa, usisahau kumshirikisha Mungu maana ukimuomba kwa kumaanisha, hawezi kukunyima uombacho. Utafanikiwa Nareem ondoa shaka.
 
ungesema ulivyo
mnene?
kabila gani?
shepu aina gani?miss tz?miss bantu?miss namba nane?namba tisa?

Nimekuelewa The Boss, unajua kueleza kila kitu inaweza kuwa tabu kidogo, ila kwa aliye na nia hizo sifa tajwa zinaweza kumpa picha na hatimae tukakubaliana tuonane ili kupata uhakika. Karibu kwa mawazo zaidi!
 
Kila la kheri Nareem, ningekuwa sijaoa ningetupa karata yangu
 
Daah! sifa zoote ninazo isipokuwa hapo kwenye kitambi! hebu nipe muda ntarekebisha hii ila ntabakiza cha kuvalia mayenu! Kama pouwa twende kazi.
 
ishu ya dini bana inafanya nikukose. Can't u think otherwise kuhusu hiyo ishu ya dini?
Hizo degree mbili ni za nini, I mean specialization i.e sociology, education, economics...
 

Nasreem, mimi nimefurahishwa na namna unavyojibu maswali, nimevutiwa na nina sifa zote kasoro nimeoa. Ila ningeomba tuwe marafiki tu.. kwani nimevutiwa kuwa na rafiki kama wewe.Kama huna tatizo na hili ni PM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…