Mwenza wa maisha

Mwenza wa maisha

Mume umri miaka 35 mpaka 45
Awe mkristo
Mfanyakazi au awe na shughuli yoyote ya kipato cha kutosha
Awe mkweli,mwenye mapenz ya kweli kwa mke wake na watoto ikiwa mungu akitujaliwa
Awe mkazi wa dsm,pwan au moro.


Mimi ni mama
Miaka 32
Mkristo
Mjasiriamali...
Kila la heri dear
 
Mume umri miaka 35 mpaka 45
Awe mkristo
Mfanyakazi au awe na shughuli yoyote ya kipato cha kutosha
Awe mkweli,mwenye mapenz ya kweli kwa mke wake na watoto ikiwa mungu akitujaliwa
Awe mkazi wa dsm,pwan au moro.


Mimi ni mama
Miaka 32
Mkristo
Mjasiriamali...
Eti kipato cha kutosha, kunguru wewe unacho cha kutosha?
 
Hapo sasa kwenye kipato cha kutosha ndio kazi ata mama janeti aliolewa na magufuli bado anasoma na walikunywa pepsi na mirinda after ndoa leo wanakula vyuku tu uyo mwenye kipato cha kutosha jua kuna aliesababisha akafika hapo kubali kua mke wa pili km uwezi kumtengeneza mme wako kua billionaire
 
Sawa, endelea kuchagua mikoa ya kuishi.

Japo sijafika 35.
All the best.
 
Back
Top Bottom