Mwenza wa maisha

Kila la heri dear
 
Eti kipato cha kutosha, kunguru wewe unacho cha kutosha?
 
Hapo sasa kwenye kipato cha kutosha ndio kazi ata mama janeti aliolewa na magufuli bado anasoma na walikunywa pepsi na mirinda after ndoa leo wanakula vyuku tu uyo mwenye kipato cha kutosha jua kuna aliesababisha akafika hapo kubali kua mke wa pili km uwezi kumtengeneza mme wako kua billionaire
 
Sawa, endelea kuchagua mikoa ya kuishi.

Japo sijafika 35.
All the best.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…