mwenzenu hapa nimeachwa kabisaa,!,! maada plz!!!

mwenzenu hapa nimeachwa kabisaa,!,! maada plz!!!

LOOOK

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
3,389
Reaction score
674
Sijaelewa kabisa hapo ,,mwenye points 41 ana "0" na mwenye 44 ana iv, sielewi kwa kweli nisaidieni ufafanuzi wakuu
 

Attachments

  • 1393100956611.jpg
    1393100956611.jpg
    100.4 KB · Views: 264
pole sana mkuu, ila nami nimeshindwa kung'amua hapo.
 
Kwani hamkuambiwa chini ya serikali ya CCM tutegemee majanga. Kama Waziri aliambiwani mzigo na bosi wake wala hakushtuka unategemea nini Kamanda? Tujiandae tu kutawaliwa tena mara ya tatu hadi milele
 
Sijaelewa kabisa hapo ,,mwenye points 41 ana "0" na mwenye 44 ana iv, sielewi kwa kweli nisaidieni ufafanuzi wakuu



Mwenzetu unaishi wapi wewe? Nakuuliza kwani nakushangaa jinsi unvyoshangaa mambo ya Tanzania na maajabu yake.
 
Mwenzetu unaishi wapi wewe? Nakuuliza kwani nakushangaa jinsi unvyoshangaa mambo ya Tanzania na maajabu yake.

Dah!! Hii ni zaidi ya ajabu mkuu kwamba moja inakuwa kubwa kuliko mbili?????au wametumia mfumo wa gia za gari??? Kwamba moja ndio gia kubwaa?? Nashangaa kwa kweli.
 
Sijaelewa kabisa hapo ,,mwenye points 41 ana "0" na mwenye 44 ana iv, sielewi kwa kweli nisaidieni ufafanuzi wakuu

Kigezo walichotumia mwaka huu ni kuwa endapo mtahiniwa katika masomo aliyodanya ameshindwa kupata japo C moja au D mbili kati ya masomo yote lakini ana pointi 41 au 42 anakuwa amepata division 0 lakini mtahiniwa akiwa amepata japo C moja au D mbili na akawa na pointi 41 au 42 basi huyo atakuwa amepata division IV.
 
Kweli hayo ni majanga kwenda mbele maana Elimu imekuwa kichwa cha mwendawazimu kila mtu ananyoa anavyotaka. Viwamgo vilivyotangazwa na Katibu Mkuu Elimu vilikuwa vinaonesha kuwa mwenye pointi chache ndiye kafanya vizuri zaidi. Sasa hili suala la kuangalia kama ana D au C mbona halipo kwenye Tamko la mwezi Novemba? Yaani badala ya kutusaidia mnatuchanganya zaidi
 
hayo yako edited bana, hakuna siku makosa kama hayo yakajitokeza!

mwenye reference alete hapa jukwaani.
 
Kigezo walichotumia mwaka huu ni kuwa endapo mtahiniwa katika masomo aliyodanya ameshindwa kupata japo C moja au D mbili kati ya masomo yote lakini ana pointi 41 au 42 anakuwa amepata division 0 lakini mtahiniwa akiwa amepata japo C moja au D mbili na akawa na pointi 41 au 42 basi huyo atakuwa amepata division IV.

Hahahahahajl, we ndo unanichanganya kabisaaaaa
 
Jamani tuipigie Kura, Serikali ya TZ iingie katk Maajabu Saba ya Dunia.
 
Dah!! Hii ni zaidi ya ajabu mkuu kwamba moja inakuwa kubwa kuliko mbili?????au wametumia mfumo wa gia za gari??? Kwamba moja ndio gia kubwaa?? Nashangaa kwa kweli.


Tanzania tuna maajabu kweli. Mfano tunahisi tuna rais wakato yeye mwenyewe rais hajuwi kuwa ni rais wetu.
 
Back
Top Bottom