Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu kundini dada. Siku zote usinisahau kwa kuwa nimekuwa wa kwanza kukukaribisha. Unatumia kinywaji gani?jamani ndo kwanza naingia humu hata sijui mnafanyaje humu ndani! napenda marafiki pia nikaribisheni mie mgeni
Karibu kundini dada. Siku zote usinisahau kwa kuwa nimekuwa wa kwanza kukukaribisha. Unatumia kinywaji gani?
Hahahaha! Nilikuwa nakusubiri umtandikie ule mkeka wako nione riaksheni zake...... Si unajua mambo ya kudumisha yanahitaji uchunguzi wa kina?Hahahaaaaaaaaa...Umesahau kumwambia kwamba mtu wa kwanza kukukaribisha lazima mbadilishane namba za (SUMU)!
Ahsante kaka chrispin me natumia juice ya ukwaju au hata ukipata juice ya embe
ahsante AK-47 mie pia mrembo japo si msomali
ahsante AK-47 mie pia mrembo japo si msomali
Polepole mpwa,mbele kuna matuta...teh tehKaribu Salha hili jina mara ya mwisho kulisikia ilikuwa Namanga kwa mrembo mmoja wa Kisomali.
noted, karibu, juice kwangu zimeisha, zimebaki valuu na konyagi za viroba! utachanganya na nini? castle light au safari?ahsante AK-47 mie pia mrembo japo si msomali
jamani ndo kwanza naingia humu hata sijui mnafanyaje humu ndani! napenda marafiki pia nikaribisheni mie mgeni
This is name calling! You are warned!!Salaha bado unaishi Mbezi beach?