mwenzenu me mgeni!

Karibu sana naona una kamba mguuni! usije kuwa yule mtoto wa mzee .ddy!
 
duh, kuna wana jamvi humu wakarimu kweli kupokea wageni - mmhhh inanitia wasiwasi... School mate Chrispin na masanilo siwasemi nyie!:smiling:
 
duh, kuna wana jamvi humu wakarimu kweli kupokea wageni - mmhhh inanitia wasiwasi... School mate Chrispin na masanilo siwasemi nyie!:smiling:

Hahahahahaha siku hizi niko makini kuna njemba zinakuja kimtindo wa majina ya kike hahahahahahahahhh umenisoma eeehh
 
karib sana. ukihitaji signature langu , napatikana maeneo ya Sumbawanga.
 
Nashukuruni kwakuni karibisha kaka chrispin na wengine wooote ahsante ndo nshakaribia Dada Birigita value wala kilevi chochote situmii mei mtoto wa ustaadh na Muislam mzuri tu hata hvyo nipe maji yanatosha
 
Nashukuruni kwakuni karibisha kaka chrispin na wengine wooote ahsante ndo nshakaribia Dada Birigita value wala kilevi chochote situmii mei mtoto wa ustaadh na Muislam mzuri tu hata hvyo nipe maji yanatosha
You are warned, that is name calling!!
kwenye ustaadh, ndo nimepapenda zaidi, karibu halua na tende! ngoja nimwangalie bi mkubwa huku uwani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…