asia abasi madhara yapo kama ulivyoelezwa hapo juu..Mi najitolea kukusaidia bila malipo yeyote..Kutwa mara tatuKuna madhara ndio. Kati ya hayo yameshaanza kujionyesha katika 'typing' yako. Hayo makosa uliyofanya yametokana na ukosefu wa vitamin C, calcium, chlorine, citric acid, fructose, magnesium, nitrogen, phosphorus, potassium, sodium, lactic acid, B-12. Hayo 'madini' yote yanapatikana kwenye....damn i wish i had a font for showing when i'm being stupid.
Ila uonje tu,sio ule. Teh teh
asia abasi madhara yapo kama ulivyoelezwa hapo juu..Mi najitolea kukusaidia bila malipo yeyote..Kutwa mara tatu
asia abasi madhara yapo kama ulivyoelezwa hapo juu..Mi najitolea kukusaidia bila malipo yeyote..Kutwa mara tatu
Hahaha. Unajitolea kufahamiana sio? Wala haitaji kukurubuni.
Hahaa..hebu mpunguzie hiyo dozi.
Yapo madhara mengi kama kucheka cheka bila sababu
Hahaa..hebu mpunguzie hiyo dozi.
Sasa si kitaoza hicho au..
Unataka msaada gani? Fafanua bidada wapo sperms donors hapa.
Msaada
teh teh..Na ww si kitakuwa na kutu