Mwenzenu napenda attention!!

Tatizo lako King'asti unaangalizia hadi sehemu ya fungate, sikwambii sehemu nyingine nloivumbua.

Aah ngoja niseme tu, mateka ananipeleka Papua New Guinea.
Usiniige tena.
Mie ndo huniogopi eeh? Yaani safari yangu ya kupelekwa fungate la ukubwani madagascar isipofanyika na wakati hadi mbwa tumemkatia ticket, wallah nakuotesha mkia kama wa farasi! Hiyo attention utaipata manake ukipita kila mtu atakuangalia!
 
Last edited by a moderator:
Leo inbox ya phina itapasuka, mie nshatuma PM kwa ID zangu nane zote, nasubiri majibu tu.

Jamani kongosho..wewe tena!nakujibu sasa hivi..no need to que!
tena nimekuandalia jibu zuuuri..
 
Tena kuna mganga mmoja chamazi tunaendaga sie wa matawi ya juu, anakuotesha jinsia kama 4 usoni! Weeh cheka tu, unataka kutibua dili za wenzio mjini? Mi town sikuja na mbio za mwenge wala malori ya uchaguzi, ohooo!
Hahaha..uuuwi!!nimecheka jamani..
U take the trophy king'asti!!its official now-nakuogopa.sawa mamie eh??nakuogopa!
Hahahah..
 
Papua New Guinea hata sio pa kwenda labda kama unaenda kusomea upadri, hata hakuna ma-handsome men and women kabisaa! Kuna sehemu ntakustua ila ni siri manake tulienda na small house.
Tatizo lako King'asti unaangalizia hadi sehemu ya fungate, sikwambii sehemu nyingine nloivumbua.

Aah ngoja niseme tu, mateka ananipeleka Papua New Guinea.
Usiniige tena.
 
Last edited by a moderator:
Tena kuna mganga mmoja chamazi tunaendaga sie wa matawi ya juu, anakuotesha jinsia kama 4 usoni! Weeh cheka tu, unataka kutibua dili za wenzio mjini? Mi town sikuja na mbio za mwenge wala malori ya uchaguzi, ohooo!

Naomba contact basi..tusaidiane jamani!
 
hebu nitonye basi
naimenunua nait dress ya samawati
naitafutia vakesheni

Papua New Guinea hata sio pa kwenda labda kama unaenda kusomea upadri, hata hakuna ma-handsome men and women kabisaa! Kuna sehemu ntakustua ila ni siri manake tulienda na small house.
 

Phina zingatia ushauri huu, kwangu mimi ni mzuri kuliko nyingine zote wlizosema wana jf. Otherwise you are in trouble
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…