LD usimdanganye mwenzako... Mungu hatoi ulinzi kwa wazinzi!!!!
Ndugu zangu wana JF mwenzenu niko kwenye hali mbaya, ni miezi michache imepita nilipata mpenzi ambaye nilijikuta kumpenda baaada ya kuvutana sana , maana yeye alipokuja kwangu nilimueleza jinsi nilivyoumizwa huko nyuma na kwamba kwa kweli siamini kama ananipenda, pamoja na vipingamizi vingi nilivyompa akanihakikishia kabisa kuwa yeye hakika ananipenda kwa pendo la kweli. Basi nikajikuta naingia kwenye mapenzi, hivi juzi akasafiri kuja huko nyumbani maana tuko ugenini tunasoma, tangia afike nyumbani hakuna mawasiliano yoyote nilyopata nimejaribu kuandika email maana sina namba ya simu hajibu. Na sina jinsi nyingine ya kumtafuta maana huko nyumbani simfaham hata rafiki yake. Je ndo nimeachwa?? au mpenzi wangu amepata shida gani sielewi nahisi kuchanganyikiwa tu.
Mbivu zikikaa sana zinakua mbovu!mvumilimu hula mbivuu
amekupata yupo hapa JFNdugu zangu wana JF mwenzenu niko kwenye hali mbaya, ni miezi michache imepita nilipata mpenzi ambaye nilijikuta kumpenda baaada ya kuvutana sana , maana yeye alipokuja kwangu nilimueleza jinsi nilivyoumizwa huko nyuma na kwamba kwa kweli siamini kama ananipenda, pamoja na vipingamizi vingi nilivyompa akanihakikishia kabisa kuwa yeye hakika ananipenda kwa pendo la kweli. Basi nikajikuta naingia kwenye mapenzi, hivi juzi akasafiri kuja huko nyumbani maana tuko ugenini tunasoma, tangia afike nyumbani hakuna mawasiliano yoyote nilyopata nimejaribu kuandika email maana sina namba ya simu hajibu. Na sina jinsi nyingine ya kumtafuta maana huko nyumbani simfaham hata rafiki yake. Je ndo nimeachwa?? au mpenzi wangu amepata shida gani sielewi nahisi kuchanganyikiwa tu.
Mtu ukisafiri na ukafika salama uwendako ni wajibu kuwajulisha uliowaacha nyuma kuwa umefika salama, ili uwaondolee wahka wenzako. Kifupi huyo jamaa yako hajali hisia zako wala nini...hata kuku sms kuwa amefika salama hakuna? hayo ni mapenzi gani?
Anyway labda wadau wanachosema kina ukweli ila binafsi sikubaliani na hizi excuses za mgao wa umeme mara sijui ana catch up na familia!
Kuwa makini na huyo jamaa yako, usije umia kama ulivyoumia mwanzo
Kamependwa sasa
vuta subira dada,ila kama anakupenda utajua tu,na kama hana mapenzi na wewe utakuja kujua tu.kama mnasoma si atarudi huko ugenini? ila be careful,
Mmmhhh
hivi hili neno "i love u"
Kwa nini watu wanapenda kulitamka
Hovyo hovyo...
some time mtu anataka one night stand
Lakini anakwambia i love u..
mtu hakujui ndo kakuona mara ya kwanza anakwambi I love u
khaaaa
(Ok don't be smart, I love u ninayoongelea ni kati y
msichana na mvulana wanapotakana kimapenzi)
Haya ndo matatizo
Ya "I love u , with no action"
Hii mi nimeipenda.
Naona unasema vema na haki kabisa.
Mtu nanayeheshimu hisia za mtu mwingine hawezi kufanya mambo kama haya,
labda basi awe amepata ajali na ame RIP, au mahututi kitandani.
Vinginevyo, najali mara ya kwanza, ya pili ya tatu.
Nakutema kama kamasi, hata ukifa nitasikia kwa wengine, ukiumwa nitasikia kwa wengine.
Potelea mbali, Mjali anaye kujali, na kuheshimu hisia zako. Asiye kujali Tupa kule,
Endelea na maisha, atatotekea tu, mwenye adabu ktk urafiki au mahusiano.
We unakonda na mawazo, mwenzio hata hakufikirii, Bwana wee, mkabili kwa Mungu wako,
We kula shiba, lala, endelea na maisha yako. Atakutana na wewe mbele ya safari.
Khaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! Raha jipe mwenyewe.
Kweli tupu LD mtu asiye jali hisi zako hakupendi hata kiduchu, dada Niwa concentrate kwenye masomo.Hii mi nimeipenda.
Naona unasema vema na haki kabisa.
Mtu nanayeheshimu hisia za mtu mwingine hawezi kufanya mambo kama haya,
labda basi awe amepata ajali na ame RIP, au mahututi kitandani.
Vinginevyo, najali mara ya kwanza, ya pili ya tatu.
Nakutema kama kamasi, hata ukifa nitasikia kwa wengine, ukiumwa nitasikia kwa wengine.
Potelea mbali, Mjali anaye kujali, na kuheshimu hisia zako. Asiye kujali Tupa kule,
Endelea na maisha, atatotekea tu, mwenye adabu ktk urafiki au mahusiano.
We unakonda na mawazo, mwenzio hata hakufikirii, Bwana wee, mkabili kwa Mungu wako,
We kula shiba, lala, endelea na maisha yako. Atakutana na wewe mbele ya safari.
Khaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! Raha jipe mwenyewe.
</p>Ndugu zangu wana JF mwenzenu niko kwenye hali mbaya, ni miezi michache imepita nilipata mpenzi ambaye nilijikuta kumpenda baaada ya kuvutana sana , maana yeye alipokuja kwangu nilimueleza jinsi nilivyoumizwa huko nyuma na kwamba kwa kweli siamini kama ananipenda, pamoja na vipingamizi vingi nilivyompa akanihakikishia kabisa kuwa yeye hakika ananipenda kwa pendo la kweli. Basi nikajikuta naingia kwenye mapenzi, hivi juzi akasafiri kuja huko nyumbani maana tuko ugenini tunasoma, tangia afike nyumbani hakuna mawasiliano yoyote nilyopata nimejaribu kuandika email maana sina namba ya simu hajibu. Na sina jinsi nyingine ya kumtafuta maana huko nyumbani simfaham hata rafiki yake. Je ndo nimeachwa?? au mpenzi wangu amepata shida gani sielewi nahisi kuchanganyikiwa tu.