mwenzenu nimefiwa

Poleni kwa msiba mkuu, Mungu awape faraja katika kipindi hiki cha majonzi
 

Pole sana baba
 
Pole sana Ndg yangu!

MUNGU ampe pumziko la milele ktk makazi yake!
Bwana ametoa na Bwana ametwaa!
 
Pole sana nio kazi ya muumba hiyo
nakutakia safari njema kwenye maziko ya mzee wako
 
pole sana kwa msiba na Mungu awatie nguvu na awafariji
 
Pole sana. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. amen
 
Pole sana Mkuu kwako na kwa familia. Mungu akupeni nguvu ya kustahimili majonzi ktk kipindi hiki kigumu.
 
pole sana kwako na familia. Mungu awajaalie moyo wa subira
 
asanteni sana ndugu zangu!
kwa wanaopajua vizuri iringa muda huu nipo ipogoro hapa napima pima upepo nianze safari mniombee nifike salama!
 
pole sana kiongozi!mapenzi ya Mungu yatimizwe!
 
Pole sana kwa kumpoteza baba. Mungu akutie nguvu na akutangulie katika safari yako. RIP baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…