Mwenzenu nimegundua siri kubwa ya mafanikio ni ubahili

Kufanikiwa kuna masharti yake moja ya sharti kubwa ni KAFARA.
 
Mkuu nakuunga mkono kwa asilimia mia, mwenyewe nlijifanya bahili mpaka jana nimeenda kudipositi vilaki vitatu nlipochungulia kibubu nkakuta kina milioni nne na laki moja....akiba muhimu kuwekwa
 

Kitu kikubwa kinachochangia umasikini ni kujihusisha na michango hata kwa wale wasio karibu na wewe!

Michango ya harusi, misiba, kipaimara, komunyo ya kwanza, mahafali, ...mwisho wa siku unashindwa kujiwekea akiba hata ya kufanya mambo ya kimaendeleo.
 
Kuwa bahili halaf hakuna uwekezaji sana na bure bora uendelee kuzitumbua tu
 
Tumia PESA ikuzoee... Haya maneno yana maan kubwa watu hawajui tu yule Mzee aliyechimba shimo ndani ya nyumba kumbe eneo ni la barabara yaliyompata ndio ya kujifunza sasa. Ubahili wa kikuda hauna tija.!
 
Huku wadau wanasema tumia pesa ikuzoee! Ponda mali kufa kwaja!
 
Saving pekee haitengenezi utajiri bali ivestment ndo inayo tengeneza pesa. Ku hifadhi pesa benki ni uoga. pesa inatakiwa ifanye kazi.
unaweza bana matumizi sawa ila kama hizo pesa hazielekezwi kwenye uwekezaji basi hakuna kitu hapo
 
You are collect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…