Mwenzenu sijui kwanini hivi!

sugar mummy ni sukari kweli kweli jaribu
Simchezo!sugar mumy's very sweet n waaminia kwanza hakuna usumbufu eti naumia!!pale kitu tii mpaka uridhike mwenyewe i like that.
 
Mwenzenu sijui nini mimi nikiona Wamama hakili inahama!mimi watoto chini ya miaka20 sina hobi nao, mimi mijimama wawe umri wa 40 na amezaa kama mara 3 basi kwangu brudani.

Lol....... pata ile ki2 roho inapenda bana, maisha yenyewe mafupi haya. lkn hao 40's si wanakuwa wake za watu? au wajane? hapo ndio naona kuna tatizo. wale kama wako tu single mh enjoy kk.
 
Ni kitu kizuri sio wengi wanaopenda kula vifaranga wakati kuku wapo wengi
 
Lol....... pata ile ki2 roho inapenda bana, maisha yenyewe mafupi haya. lkn hao 40's si wanakuwa wake za watu? au wajane? hapo ndio naona kuna tatizo. wale kama wako tu single mh enjoy kk.
Mke wa mtu sumu ila kutokana na na exprnc wengi ni wake za watu kitu ambacho sipendi na wengine niwale wanaopenda kulea kitu nisichopenda mimi napenda kila mmoja ajitegemee ikibidi mnasaidiana,ila ninacho penda hawa akina dada nijinsi gani wajuavyo nini wanafanya kwanza hawana papara wanapenda mimi sidaganyiki na facebooker!!
 
Mheshimiwa KK nenda Turkey utaifaidi mi mama ya ukweli, no strings attached
 
KK mimi wala sina tatizo na utashi wa roho yako,tatizo langu ni wanaolala na vi underage, lakini so long as unaowapenda ni of mature age then its your business ndugu yangu.

hommie....hivi under age wanaanzia miaka mingapi.......
 
ni kawaida kwa haramu kuwa tamu flani, na sukari ikizidi sana utatapika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…