joellincoln
Senior Member
- Mar 20, 2009
- 163
- 19
Katika pita pita yangu kwenye mitandao nimekutana na hii,nafikiri inaweza ikapata msaada zaidi kwa wale wana JF ambao nao wanatafuta wenza. Naomba niquote:
"Mimi naitwa Raymond. Ni mtanzania na elimu yangu ni Masters ya Uchumi kwa sasa niko kikazi Paris, Ufaransa ila nategemea kurudi mwezi ujao. Mi ni mkazi wa Dar es salaam. Natafuta mchumba msichana mzuri anayejiheshimu kabila sichagui na umri uwe kati ya miaka 22 - 30. Mimi nina umri wa miaka 31. Sibagui vilevile dini japo ningependa zaidi awe mkristo na elimu yake iwe form six au chuo. Ni vyema kuambatanisha picha kwa yule atayekuwa tayari na email zote zenye picha zitajibiwa haraka ikiwa ni pamoja na kupewa mawasiliano ya namba ya simu.Tunaweza kuwasiliana kwa email: masungamasunga@yahoo.ie"
Haya kazi kwenu dada zetu mlio kwenye search pia.
"Mimi naitwa Raymond. Ni mtanzania na elimu yangu ni Masters ya Uchumi kwa sasa niko kikazi Paris, Ufaransa ila nategemea kurudi mwezi ujao. Mi ni mkazi wa Dar es salaam. Natafuta mchumba msichana mzuri anayejiheshimu kabila sichagui na umri uwe kati ya miaka 22 - 30. Mimi nina umri wa miaka 31. Sibagui vilevile dini japo ningependa zaidi awe mkristo na elimu yake iwe form six au chuo. Ni vyema kuambatanisha picha kwa yule atayekuwa tayari na email zote zenye picha zitajibiwa haraka ikiwa ni pamoja na kupewa mawasiliano ya namba ya simu.Tunaweza kuwasiliana kwa email: masungamasunga@yahoo.ie"
Haya kazi kwenu dada zetu mlio kwenye search pia.