Why? walichukua vifundi mchundo kudesign lighting protection system nini?. Ndo matatizo ya kupeana tender hayo, the same applies to the roads, shule za kata, majengo ukiyaona unaweza kulia.Anyway, RIP mwanafunzi na poleni wanaUDOM.
Da aisee mnaposema majengo ya Dodoma nachoka haya majengo yemeota kama uyoga cha ajabu na kusikitisha haya majengo sidhani kama yatafika miaka hata ishirini siku moja nilitembelea pale nyufa kibao yaani wamepeana tenda wakaiba sasa impact tunaziona majengo mapya nyufa kibao aibu sana waone UDSM ILIVYOJENGWA UKIONA UFA hujuwe wamejenga juzijuzi but old buildings hayta kupiga tindo ishu