Mwenzi anahitajika

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,156
Reaction score
1,667
WANA JF HABARI?
Ni wakati sasa umefika wa kuwa nae mwandani.ili tuliondoe hili gurudumu la upweke.binti yeyote ambaye yuko tayari ani PM.
nitamueleza uhalisia wangu na km tutakubaliana basi inshaallah tutapanda madhabahuni.
karibuni wadada mlio wapweke

papa G:scared:
 
Hala single ladies mchuchu
 
Michelle uko wapi dili hilooo sie tushazeeka

My dear mi si mpweke....hajataja umri,sijui kama anakubali ambao biological clock zilishatick.....above 35....etu unakubali kijana????:laugh::laugh::laugh:
 
Hayaaaaaaaaa . . . .
Wanawake wanaotaka wanaume WAPWEKEE
ila kuweni makini wanaume wengine wa sampuli hii ni MAPEKE
 
Asante nitaku PM baada ya siku saba
 
Haya mjiandae kwenda kusali achaneni na mapeke
 
CPU hulali, karibu kusali kanisani kwetu.

Nimelala my dia mpaka usingizi umeanzisha maandamano . . . kanisa gani wasali bibie?
 
Nimelala my dia mpaka usingizi umeanzisha maandamano . . . kanisa gani wasali bibie?

Unaandamana kwenda wapi huo, Ikulu.
Kanisa Katoliki unakuja??
 
Weka wasufu wako halafu ndo tuone kama unafaa sio unaacha vitu hewani
 
Ambae yuko na utashi na hili jambo ani pm nitampa wasifu wangu wote.kumbuka age aint nothing but a number.ahsanteni
 
Ambae yuko na utashi na hili jambo ani pm nitampa wasifu wangu wote.kumbuka age aint nothing but a number.ahsanteni

"age aint nothing,but a number"eenh,haya bwana kila la kheri ila usijegeuka jaffarahi(kicheche mzee)!
 

mbona sioni wadada hapa jf wakihitaji wenza ? Au ndo mfumo dume ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…