Michelle uko wapi dili hilooo sie tushazeeka
ukisema wapweke unakkosea, sema singles
Haya mjiandae kwenda kusali achaneni na mapeke
CPU hulali, karibu kusali kanisani kwetu.
Nimelala my dia mpaka usingizi umeanzisha maandamano . . . kanisa gani wasali bibie?
Kwa Kiswahili sasa!
Unaandamana kwenda wapi huo, Ikulu.
Kanisa Katoliki unakuja??
Ambae yuko na utashi na hili jambo ani pm nitampa wasifu wangu wote.kumbuka age aint nothing but a number.ahsanteni
WANA JF HABARI?
Ni wakati sasa umefika wa kuwa nae mwandani.ili tuliondoe hili gurudumu la upweke.binti yeyote ambaye yuko tayari ani PM.
nitamueleza uhalisia wangu na km tutakubaliana basi inshaallah tutapanda madhabahuni.
karibuni wadada mlio wapweke
papa G:scared: