Am very very close than you think Da mie...we kua na imani tu kua Fidel atapata mchango wake
Wabongo tujifunze kuchangia watu kwenye matatizo si mpaka tusubiri afe ndo tumchangie
Mpaka sasa napoelekea mitamboni, sijapata mchango wowote.
Bandugu tunahitaji mchango wenu wahali na mali.
Kijana atateketea hivi hivi tukifanya masihara.
Mkuu hivi ni kweli Fidel80 anaumwa?
Mpaka sasa napoelekea mitamboni, sijapata mchango wowote.
Bandugu tunahitaji mchango wenu wahali na mali.
Kijana atateketea hivi hivi tukifanya masihara.
status update...
TUMEPOKEA vifuatavyo
mikate 8-kutoka kwa kimey
sh 500-kutoka kwa gy
sh 15000-kutoka kwa acid
sh 500-kutoka kwa mj1
sh 500-kutoka kwangu mwenyewe
tunashukuru
KUTOA NI MOYO
The longest SIGNATURE:
:hug: :love:Love is in the AYYYYYEEEER!!! :love::hug:
The size of your wallet doesn't matter to all...just those who can not fill their own!
LOVE is FRAGILE!
GOD created Adam andEve not Adam and Steve!!
status update...
TUMEPOKEA vifuatavyo
mikate 8-kutoka kwa kimey
sh 500-kutoka kwa gy
sh 15000-kutoka kwa acid
sh 500-kutoka kwa mj1
sh 500-kutoka kwangu mwenyewe
tunashukuru
KUTOA NI MOYO