Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Kwa utafiti wangu niliofanya nimegundua mwezi December ni mwezi wa ma-ex kupasha viporo
Ombi langu kwa jinsia ya kike mliobahatika kuolewa na wanaume wa mikoani na ukaishi huko mikoani chonde chonde achana basi na wapenzi wako wa zamani ,mnaebisha
December inakaribia unamuomba mmeo ruhusa ya kwenda kusalimia wazazi na muda huo huo una namba ya ex wako unamtafuta ety ukamtunuku umemiss sana
Kwa nini mahusiano ya mwanamke kwa ex wake hayafi?. Si wote lakini wanawake waliowengi hawaachi maex
Ombi langu kwa jinsia ya kike mliobahatika kuolewa na wanaume wa mikoani na ukaishi huko mikoani chonde chonde achana basi na wapenzi wako wa zamani ,mnaebisha
December inakaribia unamuomba mmeo ruhusa ya kwenda kusalimia wazazi na muda huo huo una namba ya ex wako unamtafuta ety ukamtunuku umemiss sana
Kwa nini mahusiano ya mwanamke kwa ex wake hayafi?. Si wote lakini wanawake waliowengi hawaachi maex