mwezi gani wa kuanza chuo kwa wahitimu wa form six 2014

Abou merlin

Member
Joined
Jun 22, 2012
Posts
58
Reaction score
3
habari zenu wadau
mm ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu 2014
napenda mnijuzi hivi chuo tutaanza mwaka huu mwezi wa 10 au itakua January mwakani
 
OK.pia ni kwasababu mwisho Wa lupines maombi TCU ni tare he 30.8. Ten a hao no kwa ambao wamehitimu miaka ya nyuma mpaka 2013. hapo bado form six waliomaliza mwaka huu .wakati kwa mwaka Jana hapo majibu ya vyuo yameshatoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…