Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Basi mkuu hapo umemaliza. Namuomba akaangalie maana za maneno kama live,like, halafu aje atuambie wazungu wameweza au vipiTafuta mwanafunzi wa kidato Cha kwanza akuekeze maana ya lugha.
Ukifuatilia haya mambo kingereza ndo kimezingua zaidi.Mwezi ni nguvu ya asili yenye kuleta giza ndiyo nishati inayotupatia wakati wa usiku.
Mwezi ni jumla ya wiki nne ambapo kuna siku takribani 30/31/29 na kwa mwaka mzima tunapata miezi 12.
Wazungu wametumia neno msamiati MOON kumaanisha nishati,vile vile wametumia neno MONTH ikimaanisha idadi ya siku.
Mfumo huu umeunganishwa na mambo ya uzazi kwa mwanamke,tumezoea kusema mwanamke bila ya kupata ada ya mwezi hana uzazi.
SWALI
Uzazi/vizazi unaweza kuathiriwa na hii terminology ya mwezi?
Mwezi ni nguvu ya asili yenye kuleta giza ndiyo nishati inayotupatia wakati wa usiku.
Mwezi ni jumla ya wiki nne ambapo kuna siku takribani 30/31/29 na kwa mwaka mzima tunapata miezi 12.
Wazungu wametumia neno msamiati MOON kumaanisha nishati,vile vile wametumia neno MONTH ikimaanisha idadi ya siku.
Mfumo huu umeunganishwa na mambo ya uzazi kwa mwanamke,tumezoea kusema mwanamke bila ya kupata ada ya mwezi hana uzazi.
SWALI
Uzazi/vizazi unaweza kuathiriwa na hii terminology ya mwezi?
Sijasoma content anasemea Mwezi wa moon au month???