Mwezi jana nilitembea na ndugu wa mke wangu ambaye pia kaolewa, alikuwa analipiza kisasi kwa mke wangu

Mwezi jana nilitembea na ndugu wa mke wangu ambaye pia kaolewa, alikuwa analipiza kisasi kwa mke wangu

Iheanacho

Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
17
Reaction score
93
Habarini wana jamvi. ..

Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.

Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!

Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.

Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!

Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
 
Habarini wana jamvi. ..

Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!

Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
Na wewe ukimwangalia mkeo unajifanya hakuna lililotokea, wanaume tuacheni akili zetu tunazijua wenyewe
 
Kwa kuwa lengo ilikuwa kulipa kisasi basi ujue hatakaa kimya wife wako ajue. Kisasi ni lazima mlengwa anayelipwa kisasi ajue na aumie kama alivyoumia mwingine.

Jiandae kisaikolojia kulikabiri hili. Ndoa zenu zote mbili zinasubiri maumivu ya kisasi. Kuna wakati tujifunze vingine vitupite tu kwa manufaa yetu na ya wengine. Sio lazima kila kizuri tukipate.
 
Mmh kama ndiyo mume wa mtu huyu, kazi ipo huko ndoani, sasa akili za wanawake wewe akili yako unaona iko sawa? Subiri aje amwambie huyo shangazi yake kwamba ulimtongoza ukatoka naye uone moto wa wife kwako badala ya huko shangazi. Vipi ulifikiria kuhusu kupima?, vipi kama alitaka hiyo nafasi ili awaletee wadudu ndani?(HIV)
 
Back
Top Bottom