Mwezi July 2024 huyu Mwanayanga alimwonya Prince Dube na Aziz Ki. Wakakaidi

Mwezi July 2024 huyu Mwanayanga alimwonya Prince Dube na Aziz Ki. Wakakaidi

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Watu mapema walianza kumwonya Dube Mpomelelo kuachana na hizi show za kiduanzi. Akawa mbishi.

Mtu akiwa kwenye mapenzi hasikii haoni. Huyu demu inasemekana. Wachezaji na viongozi wanapigiana pasi za upendo.

Yeye anachojali ni mkwanja tu. Ila anahusika sana kusambaza gundu kwa wachezaji na viongozi.

Kila kwenye matukio flani flani huenda akitafuta watu wa kuwaangusha.

Na hupata maana sisi wanaume ni dhaifu naye kaamua kuishi kwa style hii.
Screenshot_2024-11-29-08-10-12-413_com.twitter.android~2.jpg
 
Watu mapema walianza kumwonya Dube Mpomelelo kuachana na hizi show za kiduanzi. Akawa mbishi. Mtu akiwa kwenye mapenzi hasikii haoni. Huyu demu inasemekana. Wachezaji na viongozi wanapigiana pasi za upendo. Yeye anachojali ni mkwanja tu. Ila anahusika sana kusambaza gundu kwa wachezaji na viongozi.

Kila kwenye matukio flani flani huenda akitafuta watu wa kuwaangusha. Na hupata maana sisi wanaume ni dhaifu naye kaamua kuishi kwa style hii.
View attachment 3164847
Huyo kicheche amesambaza upendo sana hapo nyuma mwiko karibia wacheji wote wa kigeni wamemvua chupi na mbaya zaidi ana UTI sugu na pia grid ya Taifa .
 
Watu mapema walianza kumwonya Dube Mpomelelo kuachana na hizi show za kiduanzi. Akawa mbishi. Mtu akiwa kwenye mapenzi hasikii haoni. Huyu demu inasemekana. Wachezaji na viongozi wanapigiana pasi za upendo. Yeye anachojali ni mkwanja tu. Ila anahusika sana kusambaza gundu kwa wachezaji na viongozi.

Kila kwenye matukio flani flani huenda akitafuta watu wa kuwaangusha. Na hupata maana sisi wanaume ni dhaifu naye kaamua kuishi kwa style hii.
View attachment 3164847
Aiseeeee....
 
Habari wanazopenda Watanzania.

1. Inasemekana
2. Unaambiwa
3. Nimesikia
4. Aliniambia
5. Huenda
6. Nasikia
7. Nahisi
8. Nafikiri.

Vyote hivyo ni vitu vya kusadikika cha ajabu anakuja kushusha hukumu.
 
Watu mapema walianza kumwonya Dube Mpomelelo kuachana na hizi show za kiduanzi. Akawa mbishi. Mtu akiwa kwenye mapenzi hasikii haoni. Huyu demu inasemekana. Wachezaji na viongozi wanapigiana pasi za upendo. Yeye anachojali ni mkwanja tu. Ila anahusika sana kusambaza gundu kwa wachezaji na viongozi.

Kila kwenye matukio flani flani huenda akitafuta watu wa kuwaangusha. Na hupata maana sisi wanaume ni dhaifu naye kaamua kuishi kwa style hii.
View attachment 3164847
Mlienda kumpima wapi huyo dada hayo maradhi? Amewaambukiza na nyinyi?
 
Watu mapema walianza kumwonya Dube Mpomelelo kuachana na hizi show za kiduanzi. Akawa mbishi. Mtu akiwa kwenye mapenzi hasikii haoni. Huyu demu inasemekana. Wachezaji na viongozi wanapigiana pasi za upendo. Yeye anachojali ni mkwanja tu. Ila anahusika sana kusambaza gundu kwa wachezaji na viongozi.

Kila kwenye matukio flani flani huenda akitafuta watu wa kuwaangusha. Na hupata maana sisi wanaume ni dhaifu naye kaamua kuishi kwa style hii.
View attachment 3164847
Nashukuru kwa kuweka kumbukumbu sawa ndugu Mtuasiyejulikana iwapo unayo ya Azizi sio vibaya ukatupandishia hapa jukwaani.
 
Tukiachana na hii mada kidogo hebu tuishi kijasusi uchwara itatusaidia kidogo, katika maisha yangu mtu akijaribu kunizoea ghafla namkataa vibaya mno, haka kademu kitambo sana kalianza kama kashabiki ka kawaida ghafla kakaanza kujisogeza wa washabiki maandazi kumbe kalikua na lake akilini, imefika muda mpaka kwa wachezaji kakafika , ghafla kwa viongozi anakaa nao kabisa na kusafiri na timu na bwana Rais nnavyomjua kashakula nae itakua
 
Back
Top Bottom