Mwezi mbaya kwa mastaa Flora na Vick Kamata

Possibly flora alianza kuchepuka ulivotokea ugomvi akahamia hotelini na jamaa ndo akili ilivo fupi akarevenge kwa bwashee katika hali ya kawaida emanuel asingeweza kufanya hayo

aiseeee ko bidada nae alikuwa na michepuko
 

Duu kwa hiyo waliokufa kabla ya Yesu sasa hivi wako motoni??
 
kubakwa siku mbili?? kwa nini hiyo ya sebuleni ndo ingekua kubakwa hadi akasubiria na kwenye gari? alafu 17 years!! hainingii akilini bado.
 
kubakwa siku mbili?? kwa nini hiyo ya sebuleni ndo ingekua kubakwa hadi akasubiria na kwenye gari? alafu 17 years!! hainingii akilini bado.

Uyo hakubakwa kataka mwenyewe...baada ya ishu kustukiwa ndio kanasema mie sikutaka kanilazimisha,wapambe wa mke ss usikubali kamshtaki polisi tumuonyeshe....Mke wa kilokole tena mwimbaji anataka kumuharibia life mchz ampeleke ngome walokole wanafiki sana
 
Mkuu Bujibuji umenikumbusha kisa cha jamaa mmoja alijifanya mlokole mara asali Winners Chapel mara Agape huku akiwa front kwa mambo ya sadaka na michango. Salalee kumbe mzinzi vimada 8, EPA yumo, na siku hizi kaacha mke wa ndoa katia ndani Koku.
mkuu si umtaje tu nani huyo?
 
Duu kwa hiyo waliokufa kabla ya Yesu sasa hivi wako motoni??

Hapana mkuu wale waliokufa kabla ya yesu maana wamegawanyika, kipindi ambacho hakukuwa na sheria kama wakati wa Ibrahimu hawa watahukumiwa kulingana na dhamiri zao maana nafsi zao ziliwashuhudia juu ya haki au uovu,kuna wale waliokufa wakati wa sheria/torati hawa watahukumiwa sawasawa na sheria za wakati huo.
 
Ukiwaona hivi kama Hujaolewa Unaonaje wivu Jamani! Wanavyopendeza uwiiii ...Kumbe zote ZAFANANA ! :behindsofa:
 
Mkuu Bujibuji umenikumbusha kisa cha jamaa mmoja alijifanya mlokole mara asali Winners Chapel mara Agape huku akiwa front kwa mambo ya sadaka na michango. Salalee kumbe mzinzi vimada 8, EPA yumo, na siku hizi kaacha mke wa ndoa katia ndani Koku.

mie nna Uncle wangu mario tu yule alikuwa anatoka na aunt baadae akawa mlokole full injili lakin mtu
wa totoz mbaya ye anapitia kila mtu ikabidi aunt aweke housegirl mtu mzima anaelekea ubibi
siku hizi kaanzisha kanisa lake huko Tabata ila ni kiwembe hatariii
 
Bora aiaseeh, maana nilikuwa naionea wivu couple yao, yaan kulikuwa hakuna ata ugomvi, khaa walizidi sasa

kuna one day niliwaona kwenye tv show gan I dont remember utasema

mapenzi si ndo haya jaman
 
kuna one day niliwaona kwenye tv show gan I dont remember utasema

mapenzi si ndo haya jaman

Kumbe mke wake alikuwa analala hotelin dah, ila nilitaka kushangaa ndoa gan haina hata chachu au changamoto, yaan apo wakirudiana mapenz yatakuwa maradufu zaid, ndivy inavyokuwaga
 
Isije kuwa ya kapuya baadae isemekane ni ya kupangwa tusubiri mahakama ndo tuone
 
Possibly flora alianza kuchepuka ulivotokea ugomvi akahamia hotelini na jamaa ndo akili ilivo fupi akarevenge kwa bwashee katika hali ya kawaida emanuel asingeweza kufanya hayo

unamjua mbasa au unamsikia?kavumilia sana dada wa watu inshort,mbasha mchafu kuliko unavyomuona kwenye tv
 
kubakwa siku mbili?? kwa nini hiyo ya sebuleni ndo ingekua kubakwa hadi akasubiria na kwenye gari? alafu 17 years!! hainingii akilini bado.

Something is going on,nakuunga mkono,angekua amebakwa angeshtaki since the first time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…