Mwezi mbaya kwa mastaa Flora na Vick Kamata

Sipatagi picha siku ya mwisho jamani, manake daah majanga kila kukicha!
 
niliwaona sporah show,wao kila kitu ni kimoja,account zao,mpaka kwenye mitandao ya jamii wakasema unaweza ukafikri unachat na flora kumbe unachat na Emma,kumbe ndani ndoa yao ni imesambaratika.
 
Masikini nawaonea huruma,kuna wanaume maagent wa lucifer jamani.
niliwaona sporah show,wao kila kitu ni kimoja,account zao,mpaka kwenye mitandao ya jamii wakasema unaweza ukafikri unachat na flora kumbe unachat na Emma,kumbe ndani ndoa yao ni imesambaratika.
 
Hapo alipo anajuta,ila ndo hivyo ni too late,shetani kishamuaibisha
Ajute wakati alifaidi kufungua kitu kipya? Mpaka daktari kaandika 'High Vigina Swab'.
Matokeo ya vipimo yalionyesha kuwa binti huyo alikuwa amefanya ngono kwa nguvu. Katika fomu hiyo ya uchunguzi, daktari aliandika ‘High vagina swab'.
.
 
....hahaa mkuu hizi terminology za kanda ya ziwa hivi ni ndagu au ndago? kwa hiyo jamaa anatafta utajiri.....? hahaaa huoni kuna sehem wanadai flora kahamia hoteli no kugegedwa jamaa akaona isiwe tabu kajisevia ndani kwa ndani.

Asiye kuwepo na lake halipo.
 
Bora niendelee tu kusikiliza Gregorian chants hawa wapayukaji wanawaza kuuza sura tu hata maadili hawana
 
Oooh my God! Kama nilijua, Emma alionekana chekibobu tangu nimuonage! Dah, sijui atayaficha wapi yale mandevu yake! Mmmh, ila hizo kitu zinawaporomosha wengi!
Da Frola, one wrong doing kills million of good did. Poleka mwaego!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…