The Transporter JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 3,580 Reaction score 7,203 Nov 13, 2016 #1 Wadau , Nimekuwa najiuliza hivi kwanini vichaa wengi hata baadhi ya wagonjwa wa kifafa ukiwa mwezi Mchanga hucharuka kweli kweli?
Wadau , Nimekuwa najiuliza hivi kwanini vichaa wengi hata baadhi ya wagonjwa wa kifafa ukiwa mwezi Mchanga hucharuka kweli kweli?
sajumo JF-Expert Member Joined Nov 20, 2013 Posts 1,834 Reaction score 1,055 Nov 14, 2016 #2 hakika mkuuna mm nasubir jibu ili niweze ongeza knowledge yangu hiv mwez ukiwa mchanga unasababisha mechanisms gani ambzo huafect ubngo wa vichaaa
hakika mkuuna mm nasubir jibu ili niweze ongeza knowledge yangu hiv mwez ukiwa mchanga unasababisha mechanisms gani ambzo huafect ubngo wa vichaaa
R Mbuna JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 2,283 Reaction score 5,371 Nov 14, 2016 #3 πππ