Mnunulie Playstation 3 ili uicheze mwenyewe.., ha haa haaa
Seriously though wewe ndio unamjua vizuri kuliko sisi.., kwahiyo unajua anapenda nini, pia hongera kwa kukumbuka (hii tu itamfurahisha kwamba you care..) sababu wengine huwa wanasahau hata majina ya watoto wao let alone ni lini walianza mapenzi..
Mpende sikuzote na usifikirie kumsaliti... Ila mwezi mmoja ni mdogo sana kupima aman ya ndoa yako, najua bado mnaoneana aibu flani subiri mzoeane kama mwaka hv then urudi ku2juza maendeleo yenu.