Such a stupid thought, hakuna kitakachotokea kama unaelewa nini maana ya gravitational force, kwa sababu hakuna kiumbe kinachoishi huko kwenye mwezi, so kama ukilipuliwa kwa nucleur, utarusha mavifusi kwa mavifusi kama ilivyotokea Nagasaki na Hiroshima, at the end miamba yote iliyorushwa juu itarudi kwenye position mpya kutokana na force iliyoko huko kwenye mwezi, then things will go as is right now, tena huku duniani hatutajua chochote kinachoendelea huko, coz mwanga tutaupata kama kawaida ambao una akisiwa kutoka kwenye jua!